Mkojo/valium vs kilevi muwe makini

BASIASI

JF-Expert Member
Joined
Sep 20, 2010
Posts
9,732
Reaction score
5,011
KWA WALE WANAWAKE AKA MABINTI MNAOOOMBWA NANINII HUKU MNAENDELEA KUNYWA VYA WATU MUWE MAKINI SANA

KUMEZUKA STYLE YA KUWEKEANA KIASI KIDOGO CHA MKOJO KWENYE KINYWAJI UNACHOKUNYWA AMA VALIUM ILIOPONDWA

KAMA UNAKUNYWA VYA WATU NA UMEAMUA UNA MPANGO WA KUTOA AKIKISHA VINYWAJI UNAVYOKUNYWA VIKOSALAMA

NIMEONA JANAA MDAADA MMOJA SINZA WAKICHEKA SANA NA MAJAMAA WAWILI AIKUCHUKUA MDA YULE MDADA AKAANZA SINZIA JAMAA WAKAMSHIKA HUKU NA KULE AINGIE KWENYE GARI BAHATI MLINZI ALISHASOMA MCHEZO AKAWAULIZA MNAMPELEKA WAPI OOH HOSPT MANAGER AKAOMBA MLINZI MMOJA AENDE NAO NA JAMAA MMOJA WAKAGOMA YULE DADA ALIKUWA HOI WAPENDWA CHALIIII

MSHIKAJI WAPIL AKAENDA AKAWASHA GARI AKAJA WALIPOJAZANA WATU MWENZIE AKAINGIA WAKAKIMBIA..HIO NDIO PONA YA YULE MDADA

HAPO NDIPO JIRAN WA ILE MEZA AKASIMULIA YULE DOGI ALIEVAA NYEKUNDU TSHIRT ALIKUWA CHOON NA GLASS ANAIKOJOLEA HATA YEYE AKASHTUKA ASIELEWE MKOJO ANAPELEKA WAPI

HAPO NDIPO MNAPOLIWA VIPUSA MADADA ZANGU NA NYIE WANAUME WAPENDA BURE VYA DEZO VALIUM INAWASUBIRI MUWEMAKINI SANAA
 
Ubakaji. Lakini sheria za usalama binafsi zinakataza kutumia glass uwapo ktk mikusanyiko. Pia zinakataza kuendelea na kinywaji baada ya kukiacha kwa muda kwa kwenda mahali. Inashauriwa uagize kingine na kile ukipotezee.

Aidha inapendekezwa usimwamini mtu hadi umemwamini; mshuku kila mtu


Bazazi!
 
YAANI SIKUWA NAJUA HII.MIXER KUNAWANAUME WAKO SINZA WANAPENDA VYA BURE SANA NA NTAANZA KUTEMBEA NA MIKOJO WAKIOMBA BIA NAWAPA WAKIENDA MSALAN LAKWAO
 
KUNA WATU WAME SPECIALIZE KWENYE BAR ZA SINZA YAAN WAO UNAKUTA KILA SIKU WAKO HIO BAR WANA CHUOA YAMAJI WAKIKUONA MPWA NAOMBA MOJA AKINYWA ANASUBIRIA MWINGINE ANAOMBA MPAKA JION AMESHALEWA NA BIA ZETU

NAJUA UNASOMA HAPA JIANDAE MIE CHOONI SIENDI NAKUJA NA MKOJO KABISA KWENYW KACHUPA KADOGO

TUSHACHOKA NA MKIONA TUKO NA MADEM NDIO BALAA MOJA IMEISHA ATI NIONGEZA ONE FORE THE ROAD MTAKUNYWA MIKOJO NAKWAMBIA WEWE UNAESOMA NA UNA TABIA HII
 
Mapenzi ni hisia,hakuna haja ya kutumia nguvu kama hataki tafuta anayetaka
 
Umearibu mzeeee... Mengine uwe Mwanaume na kifua, unatoa siri za kambi wanatuibia sana hao viumbe.

Unamnunulia vitu mwisho wa siku anaenda kmtunuku mwingine kwa gia ya kutoroka nakuja ndo inatok.

Binafsi mkojo na ugolo kwangu havijawah niangusha[emoji848][emoji848][emoji848].
 
Yaan ukimdondoshea ujazo wa kizibo cha soda tu kwenye glass yenye kilevi kama alikuwa amekunywa bia moja atahisi kama amepiga saba. Sasa ukimkuta amepga kama tano ukafanya huo unyama that's means lazima alale chali
 
MPWAAA MAPAMBANOO KWA MANYWELEE WANAAKUULIZIA SANA MPWAA
 
Yaan ukimdondoshea ujazo wa kizibo cha soda tu kwenye glass yenye kilevi kama alikuwa amekunywa bia moja atahisi kama amepiga saba. Sasa ukimkuta amepga kama tano ukafanya huo unyama that's means lazima alale chali
Mpwa m kumpaa kisoda lazima alambe HATA tatu
 
Mkojo + kilevi = dawa za kulevya
Valium inasimamaa peke yake

Bazazi
Hamna kitu kama hicho. Mkojo+mkojo hauwezi kutoa hicho kitu. Hizo ni story tu za vijiweni. Usidanganywe na hizo hadithi
 
YAANI SIKUWA NAJUA HII.MIXER KUNAWANAUME WAKO SINZA WANAPENDA VYA BURE SANA NA NTAANZA KUTEMBEA NA MIKOJO WAKIOMBA BIA NAWAPA WAKIENDA MSALAN LAKWAO
Utamlisha tu mkojo wako huyo jamaa yako,lakini haiwezi kutokea hicho kitu alichoongea hapo. Hizo ni story za vijiweni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…