Tena utanyooka 🤣🤣😜Ila mwanamke akikwambia hataki ndoa na wewe ukalazimisha utanyooka.
Hapo hakuna Ndoa mkuuAlipomaliza chuo, nilipomuambia mambo ya kumuoa, akaniambia hapana, subiri mpaka nipate kazi, kuna mambo namalizia, nikajitahidi kuhangaika, kuna mshikaji wangu akamuunganishia, akapata kazi benki. Mshahara laki 6, sijakaa miezi miwili, ananiambia kuwa ananunua gari, nikawaza kwamba maisha gani ananunua gari, akanambia nimechukua mkopo kazini.
Mimi nikatulia, akanunua hiyo gari, nakumbuka kipindi kile IST alinunua milioni 14, nikasema poa, haina shida. Naongelea mambo ya ndoa, ananiambia mimi sina shida kuhusu kunioa, lakini siwezi kuishi huko, nataka kuishi Dar au Morogoro. Nikamuambia mimi niko Dodoma, unafanya kazi Dodoma, kwanini utake kuhama?
Akanambia, ndiyo nimeamua, kama unataka kunioa basi ni kati ya mikoa hiyo. Nikasema isiwe shida, tutahamia huko, basi tukafunga ndoa, mara kanambia anaacha kazi, anahamia Dar kama alivyonambia kwani kapata kazi nyingine huko, nikamuambia mimi uhamisho kuja Dar mgumu, ananiambia kwani nani alikuambia nataka uhamie na mimi.
Mimi sitaki kuishi na wewe, baki Dodoma, mimi nataka kuishi Dar, siwezi kuishi na mwanaume 24/7. Tukagombana, nampigia mama yake, ananiambia kama mwanangu hataki kuishi na wewe kwanini unanilazimisha. Sijakaa sawa, akaacha kazi, nasikia yuko Dar kahamisha kila kitu chake, hivyo ananiambia nitakuwa nakuja kila weekend!
Ni mwaka wa pili sasa, mke wangu namuona kila anapotaka yeye, sijui hata anaishi wapi huko Dar, nikitaka kwenda ananiambia unakuja kwani wewe ndiyo unalipa kodi, hataki hata kunizalia kiasi mimba anatoa, nipo tu hata sijui nafanya nini, nguvu ya kumuacha sina, hata nguvu ya kuchepuka sina!
Bro hadi hapo unafaida gani sasa kwenye dunia hii? watu kama wewe ulitakiwa ufe mara moja. Mkeo kakwambia hataki kuishi nawewe manake ana mwanaume mwingine bado umo tu. wanaume kama wewe hufai hata hata kuacha mbegu duniani ndio maana anatoa mimba zakoAlipomaliza chuo, nilipomuambia mambo ya kumuoa, akaniambia hapana, subiri mpaka nipate kazi, kuna mambo namalizia, nikajitahidi kuhangaika, kuna mshikaji wangu akamuunganishia, akapata kazi benki. Mshahara laki 6, sijakaa miezi miwili, ananiambia kuwa ananunua gari, nikawaza kwamba maisha gani ananunua gari, akanambia nimechukua mkopo kazini.
Mimi nikatulia, akanunua hiyo gari, nakumbuka kipindi kile IST alinunua milioni 14, nikasema poa, haina shida. Naongelea mambo ya ndoa, ananiambia mimi sina shida kuhusu kunioa, lakini siwezi kuishi huko, nataka kuishi Dar au Morogoro. Nikamuambia mimi niko Dodoma, unafanya kazi Dodoma, kwanini utake kuhama?
Akanambia, ndiyo nimeamua, kama unataka kunioa basi ni kati ya mikoa hiyo. Nikasema isiwe shida, tutahamia huko, basi tukafunga ndoa, mara kanambia anaacha kazi, anahamia Dar kama alivyonambia kwani kapata kazi nyingine huko, nikamuambia mimi uhamisho kuja Dar mgumu, ananiambia kwani nani alikuambia nataka uhamie na mimi.
Mimi sitaki kuishi na wewe, baki Dodoma, mimi nataka kuishi Dar, siwezi kuishi na mwanaume 24/7. Tukagombana, nampigia mama yake, ananiambia kama mwanangu hataki kuishi na wewe kwanini unanilazimisha. Sijakaa sawa, akaacha kazi, nasikia yuko Dar kahamisha kila kitu chake, hivyo ananiambia nitakuwa nakuja kila weekend!
Ni mwaka wa pili sasa, mke wangu namuona kila anapotaka yeye, sijui hata anaishi wapi huko Dar, nikitaka kwenda ananiambia unakuja kwani wewe ndiyo unalipa kodi, hataki hata kunizalia kiasi mimba anatoa, nipo tu hata sijui nafanya nini, nguvu ya kumuacha sina, hata nguvu ya kuchepuka sina!
Umeoa JINI!Alipomaliza chuo, nilipomuambia mambo ya kumuoa, akaniambia hapana, subiri mpaka nipate kazi, kuna mambo namalizia, nikajitahidi kuhangaika, kuna mshikaji wangu akamuunganishia, akapata kazi benki. Mshahara laki 6, sijakaa miezi miwili, ananiambia kuwa ananunua gari, nikawaza kwamba maisha gani ananunua gari, akanambia nimechukua mkopo kazini.
Mimi nikatulia, akanunua hiyo gari, nakumbuka kipindi kile IST alinunua milioni 14, nikasema poa, haina shida. Naongelea mambo ya ndoa, ananiambia mimi sina shida kuhusu kunioa, lakini siwezi kuishi huko, nataka kuishi Dar au Morogoro. Nikamuambia mimi niko Dodoma, unafanya kazi Dodoma, kwanini utake kuhama?
Akanambia, ndiyo nimeamua, kama unataka kunioa basi ni kati ya mikoa hiyo. Nikasema isiwe shida, tutahamia huko, basi tukafunga ndoa, mara kanambia anaacha kazi, anahamia Dar kama alivyonambia kwani kapata kazi nyingine huko, nikamuambia mimi uhamisho kuja Dar mgumu, ananiambia kwani nani alikuambia nataka uhamie na mimi.
Mimi sitaki kuishi na wewe, baki Dodoma, mimi nataka kuishi Dar, siwezi kuishi na mwanaume 24/7. Tukagombana, nampigia mama yake, ananiambia kama mwanangu hataki kuishi na wewe kwanini unanilazimisha. Sijakaa sawa, akaacha kazi, nasikia yuko Dar kahamisha kila kitu chake, hivyo ananiambia nitakuwa nakuja kila weekend!
Ni mwaka wa pili sasa, mke wangu namuona kila anapotaka yeye, sijui hata anaishi wapi huko Dar, nikitaka kwenda ananiambia unakuja kwani wewe ndiyo unalipa kodi, hataki hata kunizalia kiasi mimba anatoa, nipo tu hata sijui nafanya nini, nguvu ya kumuacha sina, hata nguvu ya kuchepuka sina!
Kabisa.Mm mwenyewe sijaona shida hapo.
Hatua ya kwanza ilitakiwa akate matumizi na misaada ya aina yeyote, na kama kaamua kuja aje kwa gharama zake
Nikijuju ntabwenge afiteSwahili: Kama sio chai, basi wewe fala.
English: If it's not tea, then you're fala.
Spanish: Si no es té, entonces eres fala.
Nyarwanda: Niba atari icyayi, noneho uri fala.
Hindi: अगर यह चाय नहीं है, तो आप फ़ला हैं।
Dutch: Als het geen thee is, dan ben je fala.
Sio kama hanitaki, ila anataka tukae mbalimbaliBro hadi hapo unafaida gani sasa kwenye dunia hii? watu kama wewe ulitakiwa ufe mara moja. Mkeo kakwambia hataki kuishi nawewe manake ana mwanaume mwingine bado umo tu. wanaume kama wewe hufai hata hata kuacha mbegu duniani ndio maana anatoa mimba zako
Lugha gn hioNikijuju ntabwenge afite
Ni yeye sio mimimshahara 600k unanunua gari tena ya mkopoutalala njaa
Endelea kuona hivohivo tuStory yako imekaa kama uongo uongo mwingiii
Etiii
Story ya kweliNa ungekua ni vichekesho ungesoma ucheke usingeangaika na comment yangu mkuu...easyyyy!
Kabisa mkuuBora mwanaume akuambie sikuoi anaweza kugeuza mawazo
Ila mwanamke akikwambia hataki ndoa na wewe ukalazimisha utanyooka.
Pole mkuu upo sehemu isiyo sahihi kwako
Hao ni wale wanawake tukikaa kwenye vikao vyetu huongelea mabaya ya waume zao mpaka siyo poa
Nimegundua hii ni chaiSio kama hanitaki, ila anataka tukae mbalimbali
Ilikua ni ndoto yg kua naeAlishakuonyesha mapema kuwa hakuhitaji wewe ukakaza fuvu maskini
Sio lahisimloganzila wanakata mboo?
Mapenzi yanaumaNo matter what,Achana na huyo mwanamke.
sina pesa,sina good life,sina kazi na nina muonekano wa kawaida tu ila mwanamke yoyote akianza kunipa masharti waga hatutoboi siku tatu.
nasubiri siku nina pesa na kazi asee hiyo confidence rais akasome..una pesa then unaendeshwa na mwanamke?? Serious!!?