Hahahahaha nawasaidia vijana banah......tunataka huyu mleta uzi kama akipata mke,basi atuletee japo mrejesho ili tujue kweli JF kuna wife material...maana kuna wimbi kubwa la vijana wanaotafuta
Hahahahaha nawasaidia vijana banah......tunataka huyu mleta uzi kama akipata mke,basi atuletee japo mrejesho ili tujue kweli JF kuna wife material...maana kuna wimbi kubwa la vijana wanaotafuta
Yaani nasikitika sana wadada hawataki kuolewa bali wanataka kulowewa.
Ningekuja na uzi wa kwamba natafuta wa kula nae bata kwenye macasino wangekuja kwa wingi.
Lakini sio mbaya kwa vile hawataki kuolewa basi siwalazimishi kesho nafunga pm.
Yaani nasikitika sana wadada hawataki kuolewa bali wanataka kulowewa.
Ningekuja na uzi wa kwamba natafuta wa kula nae bata kwenye macasino wangekuja kwa wingi.
Lakini sio mbaya kwa vile hawataki kuolewa basi siwalazimishi kesho nafunga pm.