Zipo benki zinazotoa mikopo kwa wafanyakazi kwenye scheme.
Yaani mnakuwa wafanyakazi zaidi yua mmoja mnakopa makato yanawakilishwa na muajiri kwa ajili ya kupunguza risk ya kusema mwezi huu sijui ada ya watoto nimelipa.
Ila kuna changamoto sana kwneye kukopesha wafanyakazi ndio maana inakuwa ngumu.