ratiba yako ni nzuri sana.baada ya jana kutuonesha kweli umepinda na ukatumia vitisho kuturudisha kazini nimeona nikuelezee ratiba yangu ya leo.
Nimeamka saa tatu kasorobo asubuhi nikakaa kwenye computer kuprint cv.by saa nne nilifika mwenge nikaenda uchochoro fulani kupata supu na chapati.nikapeleka cv kwenye private hospital nne.mida hii nipo valentino pub napata konyagi na bitter lemon bariiiiiiiiidi na sambusa za buku mbili nikisubiria barua yako ya kunifukuza kazi.nikiondoka ntakutaarifu.pole kwa kazi za kujenga taifa
baada ya jana kutuonesha kweli umepinda na ukatumia vitisho kuturudisha kazini nimeona nikuelezee ratiba yangu ya leo.
Nimeamka saa tatu kasorobo asubuhi nikakaa kwenye computer kuprint cv.by saa nne nilifika mwenge nikaenda uchochoro fulani kupata supu na chapati.nikapeleka cv kwenye private hospital nne.mida hii nipo valentino pub napata konyagi na bitter lemon bariiiiiiiiidi na sambusa za buku mbili nikisubiria barua yako ya kunifukuza kazi.nikiondoka ntakutaarifu.pole kwa kazi za kujenga taifa
umeenda na kobe wako?
Akizuia hilo labda wataanza biashara ya kuzichoropoa za wanafunzi na wa kwenye ndoa ambao wamepata "kwa bahati mbaya" na bila kutegemea. Si mnajuwa wapo wengi sana ila tu hawatangazwi?Hah.............................akiipata hii ataamuru Mahospital ya Private marufuku kuajiri madaktari kwa muda wa miezi sita
Eti anajiita mtoto wa mkulima,sijui mkulima wa wapi ambae ni selfish.
Mkuu nakuja kukuunga mkono.
Au pinda kuvaa pete ya Gold tayari umekuwa mwelewa au
baada ya jana kutuonesha kweli umepinda na ukatumia vitisho kuturudisha kazini nimeona nikuelezee ratiba yangu ya leo.
Nimeamka saa tatu kasorobo asubuhi nikakaa kwenye computer kuprint cv.by saa nne nilifika mwenge nikaenda uchochoro fulani kupata supu na chapati.nikapeleka cv kwenye private hospital nne.mida hii nipo valentino pub napata konyagi na bitter lemon bariiiiiiiiidi na sambusa za buku mbili nikisubiria barua yako ya kunifukuza kazi.nikiondoka ntakutaarifu.pole kwa kazi za kujenga taifa
tiss ndio nn?Chichi bomba sana ila angalia usilewe maana walevi huwa wana tabia ya kutoa siri zao isije jirani akawa amekaa mtu TISS akawaambia watu kwamba na wewe ni kama Ulimboka hujamaliza Internship yako. LOL