Mkuu Sajentu hata mi nimeisikia hii stori asubuhi sema kwa vile nilikuwa kwenye mambo ya 'kwa msaaada wa watu wa marekani' sikuisikiliza kwa makini,,,, niliikuta mwishoni mwishoni
lakini ni kity kilichokuwepo hata kwetu kama alivosema Roya Roy apo juu
unarudi unapiga kamluzi kutoa ishara kwamba mwenye boma ameingia...hii ilikuwa inapunguza sana misuguano
Uzuri enzi hizo kulikuwa hakuna magonjwa ya ajabu ajabu kama UKIMWI nk.......
sasa hivi haya ya kuvunja ukimya sijui ndo tunaelekea huko ama vipi? Hivi huu wivu wa siku hizi inakuwaje au ni 'socially constructed'? Manake hao mababu zetu na hao watswana sasa hivi, kwao hakuna wivu na ubinafsi tulio na wengi wetu?