Habari wanajamvi, naomba kuuliza mfumo unaotumika kwa sasa kwenye usaili (written interview) utumishi. Je ni Online Amptitude Test. Au ni ule ule wa mitihani ya kuandika darasani.
Kada ya mazingira naomba tupeane areas of Concentration. Maana sisi wengine ni gradutes a decade ago. Asante