kamati yamaamuzi magumuu
JF-Expert Member
- Nov 14, 2019
- 227
- 262
- Thread starter
-
- #21
Unaichukua GAME OF THRONES unailinganisha na series za vichochoroni halafu unajiita LEGEND!..
Ushazisikia DR. WHO, MCGYVER au WEST WING!?..
##bro umeongea purely kabisaaHonestly GOT, ilinibamba sana.
Humo kuna vita, akili nyingi, michezo ya siasa, love games. Ile ni life moja hatari sana.
Jinsi njaa ya madaraka nguvu na utawala, imekaa poaa mno. Half man, kale ka midget kalikuwa kako vizuri mno, little finger Mzee wa figisu.
Ila kuna mzee wa misimamo, baba yao Arya alizngua alivyokubali ku confess.
Series ili nibamba sana. Sema wameharibu mwishoni, Mother dragon alivyo kufa, nalitegemea kuwe na bonge la bond la JOHN SNOW naye, wangekuwa formidable.
Merlin, nimeicheki, ila imekaaa kitoto sana. Kama zile hadithi za watoto. Kwanza wahusika wachache sana, haina visa vya akili niliona imekaaa kama zile hadithi za zamani ya kale. Hili zaga labda nilifananishe na ile ya wababe LEGEND OF SEEKERS.
Hapana, nimeangalia.Yeah,,yupo amecheza Kama doctor mkuu,,,nitamu bro hiyo military drama dah,,tafuta uingalie kaks
kamati ya maamuzi magumu
"Only Legendary" au "Only Legends"?? Msipende kutumia lugha msiyoiweza!
Hapana, nimeangalia.
Yule sio Sara wa Prison Break
Series ya kipuuzi kabisa siwezi rudia tena kuitazama. Yani ina location chache, wahusika wachache na haiko real. Shida ya kutazama movie unayojua information za ilichoigiza ndo inanikumba. Unakuta nikitazama movie ya kuhusu KGB vs CIA alafu historia ya hicho kitu nimeisoma wakikosea movie naichukia. Nikitazama kuhusu WW2 wakikosea au wakatoa uongo wa nguvu au kutaka kuleta ukisasa ambao haukuwepo that time naichukia. Money Heist pesa inahifadhiwa kwenye nyumba ambayo ni sawasawa na museum wakati inatakiwa iwe kwenye bullion. Kuna makosa kibao.Mshindi La casa de papel
pie game of thrones itashinda... ile series ni nomah sana had obama anaiangalia
Sent using Jamii Forums mobile app
Series ya kipuuzi kabisa siwezi rudia tena kuitazama. Yani ina location chache, wahusika wachache na haiko real. Shida ya kutazama movie unayojua information za ilichoigiza ndo inanikumba. Unakuta nikitazama movie ya kuhusu KGB vs CIA alafu historia ya hicho kitu nimeisoma wakikosea movie naichukia. Nikitazama kuhusu WW2 wakikosea au wakatoa uongo wa nguvu au kutaka kuleta ukisasa ambao haukuwepo that time naichukia. Money Heist pesa inahifadhiwa kwenye nyumba ambayo ni sawasawa na museum wakati inatakiwa iwe kwenye bullion. Kuna makosa kibao.
Kwani lacasa ile movie ni true story?Series ya kipuuzi kabisa siwezi rudia tena kuitazama. Yani ina location chache, wahusika wachache na haiko real. Shida ya kutazama movie unayojua information za ilichoigiza ndo inanikumba. Unakuta nikitazama movie ya kuhusu KGB vs CIA alafu historia ya hicho kitu nimeisoma wakikosea movie naichukia. Nikitazama kuhusu WW2 wakikosea au wakatoa uongo wa nguvu au kutaka kuleta ukisasa ambao haukuwepo that time naichukia. Money Heist pesa inahifadhiwa kwenye nyumba ambayo ni sawasawa na museum wakati inatakiwa iwe kwenye bullion. Kuna makosa kibao.
Hahah kaitafute....ni sci-fi.Hiyo sijawahi Iona Kaka ikoje ni ya kifalme au military drama?
kamati ya maamuzi magumu
Mkuu huu uandishi wako dah. Hayo majina sasa ulivyoyaandika πππ. Ungetafuta hata msaada google asee.Only lengendary understand this seasons
Ipi ilikukoshaa na hasa tukio gani huwezi lisahau.
Changia tuone picha itabaki kuwa ni dhahabu.
Only Lengendary wanazielewa hizo picha
Naanza GOT John Snow alipomuua Queen of Tygalians the qouncer of Marine and Queen of Dorthlaqies.
Uje Last nakubaliii sana nyenendo za son of Taxess, pia namkubali aliekuwa anaitwa Sarah Tinqued mke wa starring wa prison break kwenye hiyo Last Ship.
Only Lengendary wanazielewa na wanaweza elezea wapi wamevutiwa nazo.
kamati ya maamuzi magumu
Sio true story lakini napenda kuwe na uhalisia kwenye movie. Hata Prison Break mazingira waliyoigiza kama gereza la Chernyi Del'fin sio lenyewe (maana huwezi ruhusiwa kulitumia) lakini angalau jengo na mazingira yanaelekeana. Sasa hii ni kama museum ilifananishwa na fortified vault building.Kwani lacasa ile movie ni true story?
Mkuu huu uandishi wako dah. Hayo majina sasa ulivyoyaandika. Ungetafuta hata msaada google asee.
Anyway, GOT ni show ya tofauti usifananishe na Merlin, hizi ni ligi mbili tofauti kabisa.
Breaking Bad.
We jamaa unaiweka merlin kwnye kapu moja na GOT!!!???? we jamaa hebu tuombe radhi wadau wa series hapa bongo
Sent using Jamii Forums mobile app
Kaka last ship Ile military drama inayokomea episode 44 yupo Kaka,,
kamati ya maamuzi magumu
Hiyo inaishia 46 au 44 nimesahau kidogo Ila huyo Sara yupo