Wangekuwa transparent, wangeweka namba ya waziri wa nishati ili yeye ndioutueleze, mimi mwezi wa pili huu nimelipia mita ya three phase, kila nikifatilia mita hamna, ilihali wameshachukua, 912, 100. Mungu yupo. Siku Haya yataisha.
Wangekuwa transparent, wangeweka namba ya waziri wa nishati ili yeye ndioutueleze, mimi mwezi wa pili huu nimelipia mita ya three phase, kila nikifatilia mita hamna, ilihali wameshachukua, 912, 100. Mungu yupo. Siku Haya yataisha.