Inawezekana kabisa,kikubwa uwe na GPA ya 3.5 na kuendelea kwa vyuo kama UDSM,Ila kwa vyuo vya technical ni kuanzia GPA ya 3.0.ila kama unabadilisha fani mda wa masomo ni miaka minne sawa na watu wa kidato Cha sita.ila kama fani Yako ni ile ile degree ni miaka mitatu.