Natafuta mdada mwenye utaalam na masuala ya saluni, kuanzia kusuka, kuweka dawa na michano mbalimbali, kushonea weaving, kupamba maharusi nk. Awe mkazi was mbezi au kimara
Natafuta mdada mwenye utaalam na masuala ya saluni, kuanzia kusuka, kuweka dawa na michano mbalimbali, kushonea weaving, kupamba maharusi nk. Awe mkazi was mbezi au kimara
Ninahitaji wa kupanda gari moja, IPO mbezi kwa msuguri ukiwa kwa msuguri unachukua kibajaji nauli 500, so ndio maana nahitaji was maeneo ya kimara au mbezi. Ambaye yuko tayari tuwasiliane 0755 076393