Msigwa ni mjenga hoja mzuri; anatakiwa tu kuacha siasa kama za [HASHTAG]#lissumsaliti[/HASHTAG] za jaziba, uanaharakati, matusi, nk. Akiacha hayo akajikita kwenye kujenga hoja, anaweza kuisaidia sana chadema. Chadema sasa hivi inahitaji sana kiongozi mwenye hekima na busara.