Pamoja ila nadhani vijana ni waelewa hivyo watumie muda huu kuwapa elimu wale wazee vijjini ambao wanarubuniwa, wawambie upande wa urais ni Lowasa na chama ni Chadema katika fomu vinakaribiana,katika ubunge madiwani ambapo ukawa wamesimmaisha wagombea wawili wawe makini sana kwani mfano ukonga wanaweza tick Chadema na Cuf