Hilo ni dhahiri mwenyewe analifahamu pia.Nipo Mbeya.Nimeongea na baadhi ya watu.Kwa masikitiko ni kuwa hakuna jinsi bali Sugu atatoka.Watu wameaminishwa kuwa kuna mambo yanakwama kwa kuchagua upinzani na ili wayapate inabidi kiti kirudi kwenye kijani.
Ushauri wa Sugu-Pima upepo na usiweke mayai yote ndani ya kapu moja.
Ila Wabunge wa upinzani akiwemo Mwenyekiti Wa chadema na Msemaji wa kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni ,Mh.Freeman Mbowe wanakosea sehemu Moja kubwa ya kutojiendeleza Kielimu hata kwa Lusoma Part time kama Alivyofanya Mrema.
Mbowe mpaka sasa alitakiwa awe na Diploma au Digrii kabisa.
Ingewaongezea umaarufu na kuamika zaidi.
CCM wengi wanasoma mpaka wanapata PhD kama alivyofanya Mkubwa baba la baba.
Wapinzani wakumbuke kuwa Elimu haina Mwisho.
Pia wapinzani watumie ruzuku zao kuajiri wataalam kwa mikataba maalum kutoka ndani ya Taasisi zote za umma na binafsi kuliko liwekeza kwenye maandamano na kesi kila kukicha mahakamani na mawakili.
Ni lazima chama kiwe na watu ndani ya Ssit, ztwj, lpilos na idara nyingine zote mpaka huko ubalozini.
Lakini kujitenga na kubagua watu wote kwenye idara mbalimbali kuwa ni wanaCCM tuu wote ni kushindwa kujiimarisha na kuwa na mizizi imara.
Huyu ndio wale mbumbumbu aliowazungumzia baba Askofu!Mimi sina hakika hata kama unaelewa maana ya "elimu"
I am sure wewe ni miongoni mwa wale wanaoamini kuwa "mtu kuelimika" ni kitendo cha kuhudhuria darasani na kupewa karatasi iitwayo "cheti"
If you think so, then, I am sorry to disappoint you that, you're absolutely wrong!!
Tulia akagombee kongwa!Huku ndio kuunga mkono juhudi kunakohitajika bila kuhamia CCM na kulitwisha taifa gharama za kurudia uchaguzi au kufanya uhuni kama Joshua wa Arumeru.
Dr Tulia njoo ugombee Kawe hapo Mbeya umeshafeli.
Source Milard ayo tv
Maendeleo hayana vyama!
Hahahaa........ Usiogope!Mods plz unga hizi
Hakuna cha kupima upepo wala nini!! Chaguzi za siku hizi sio chaguzi ni uchafuzi, wanaotaka wao ndio anashinda sio kwenye sanduku la kura!!! Mwaka kesho sidhani kama kuna mpinzani atarudi mbungeni, sio kwamba hawatapigiwa kura bali hawatatangazwa kamwe!!!! Kwanzanuhuni utakao fanyika we mwenyewe una susia!! Kwa sasa hakuna demokrasia Tz.Nipo Mbeya.Nimeongea na baadhi ya watu.Kwa masikitiko ni kuwa hakuna jinsi bali Sugu atatoka.Watu wameaminishwa kuwa kuna mambo yanakwama kwa kuchagua upinzani na ili wayapate inabidi kiti kirudi kwenye kijani.
Ushauri wa Sugu-Pima upepo na usiweke mayai yote ndani ya kapu moja.
Namuona Binti cheusi ana kiherehere sana. Yeye ni naibu spika lakini.....Hahahaa........ Usiogope!