Mbegu bora now ni Dar es Salaam

Itabidi afate huu ushauri ili arekebishe maana hata sielewi ni kitu gani kaweka.

brain is the beautiful part of the body.
 

Bila shaka hana uwezo wa kusupply kwa kiwango kikubwa. Anataka kuuza kwa watu wachache wanaofahamu hiyo bidhaa. Hafanyi biashara ila anatoa huduma. Ndiyo sababu hataki kuongeza soko.
 
Kutokana na utamaduni wa uwa wafanyabiashara wengi wa kitanzania tangu Enzi ni wachuuzi wadogowadogo, huwa bado tunaona aibu kuuza vitu au kutangaza biashara.

Yaani mtu anaona aibu kuuza hata matangazo huwa ya ku-beep kusikilizia kama atachekwa au kurushiwa kejeli.

Biashara ndiyo inayoisukuma dunia hii kuendelea. Kwa hiyo kufanya biashara ni jambo la maana sana na siyo kufanya kazi tu serikalini au kwa mtu binafsi.

Tuepukeni kuona aibu kutangaza biashara kwa uwazi na furaha kubwa! Biashara ni kitu kizuri tusione aibu na tusipoteze muda na nafasi kushirikisha jamii kwenye kila hatua.
 
Mwambieni unapost kitu theni hakina maelezo ndio nini unadhani wote tunavijua?

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…