Mawaziri wapigwa stop ziara za Rais

Magazetini

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2014
Posts
593
Reaction score
1,713

Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete akiagana na Mjumbe wa Kamati Kuu ya chama hicho, Dk Emmanuel Nchimbi kabla ya kuondoka katika Uwanja wa Ndege wa Dodoma baada ya kumalizika kwa kikao cha kamati kuu ya chama hicho juzi. Kulia ni Naibu Katibu Mkuu wa CCM (Bara), Mwigulu Nchemba ambaye pia ni Naibu Waziri wa Fedha na wa tatu kulia ni Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Jenista Mhagama. Picha na Ikulu


Na Neville Meena na Habel Chidawali, Mwananchi



Chanzo: Mwananchi
 
Hakuna amri iliyotolewa hapo ya kuwapiga stop,ila wakijisikia wanaweza kutekeleza au la.
Lakini kwa mila zetu za kiafrika, mkubwa akitoa ombi ni kama ametoa amri!
 
leo ndo anakumbuka hilo? na alipoongozana na mawaziri karibu 9 huko ughaibuni
kasahau..!
 
sasa hapa amri iko wapi mbona inaonekana limejadiliwa kikawaida na kuhimiza washiriki vikao.
 
leo ndo anakumbuka hilo? na alipoongozana na mawaziri karibu 9 huko ughaibuni
kasahau..!

jamaa unachuki na Rais lakini ndiyo basi tena amethubutu kaweza sasa anazidi kusonga mbele.
 
Protikali itakuwaje sasa, anawezaje kwenda kuzindua barabara bila waziri w abarabra kuwepo?

Inawezekana vipi kutembelea Mkoa wa dodoma bila Mkuu wa Mkoa ambaye Mbunge Kuwepo?
 
Wapi kuna posho kubwa ?
Kufuatana au kumfuata RAISI au kubaki Bungeni Dodoma ?
Hao watashukuru kama Dodoma kuna posho kubwa ila kama kufuatana na Raisi ni zaidi basi hawatakosa sababu ya kutoa hata ikibidi kuzidisha uwongo alimuradi wawepo na Raisi ! wapi bahasha imenona !:A S-alert1:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…