:crying:
My, my, my....this is the sadest story i have heard this year
Hivi inakuwaje mtu anakuwa mkatili namna hii......no this is beyond human sense, there must be something behind the man
Hata kama ni ugomvi na mke, watoto hawa wanakosa gani jamani...hakika binadamu tumekuwa wabaya zaidi kuliko hapo awali
May you Rest in Peace kids....am standing a minute of silence to pay you my respect