Matokeo ya nacte yanatoka lini?

Ingia kwenye wavuti yao,kama kuna sehemu ya kutuma maoni basi waulize
 
Tarehe 9_14 ndo wanakuwa wanachagu ,kwahiyo kuazia tareh 15 mwezi ujao ndo watatangaza
 
Kama umeomba kozi za afya ,omba na nyingine mkuu muda bado haujafungwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…