Matikiti maji yanauzwa

ong'wafaza

JF-Expert Member
Joined
Apr 30, 2012
Posts
252
Reaction score
108
Yako shambani.
Bei maelewano,piga 0717221759 au 0686339972 kwa maelezo zaidi.
 
Wewe ni dalali au mteja?
Kama ni mteja vocha tu inakuwa shida,je hela ya matikikiti itakuwaje?
Akili zingine bhana

Sasa kwa mfano uko Dar na huyo unayetaka akupigie simu yuko Kigoma mtafanya biashara gani? Ukizingatia biashara yenyewe ni matikiti(perishable goods)
Ndo maana ni muhimu kusema ulipo ili walioko karibu nawewe wachangamkie hiyo fursa sasa ukianza kuleta siasa za kutaka upigiwe simu na kila mtu, sidhani kama wewe kichwani uko sawa
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…