Sasa kwa mfano uko Dar na huyo unayetaka akupigie simu yuko Kigoma mtafanya biashara gani? Ukizingatia biashara yenyewe ni matikiti(perishable goods)
Ndo maana ni muhimu kusema ulipo ili walioko karibu nawewe wachangamkie hiyo fursa sasa ukianza kuleta siasa za kutaka upigiwe simu na kila mtu, sidhani kama wewe kichwani uko sawa