Masters of Science in Biochemistry inatolewa na hivi vyuo Tanzania
::UDSM ada n 4.3M
::SUA ada n 7.6M
:: MUHAS ada mpka 8M
Na zote zinatofautiana kulingana na chuo husika maana zipo kwenye faculties tofauti kwa kila chuo
Ni Masters ambayo haina watu wengi hapa kwetu na ukiangalia selection ni wachache wanaoaply
Labda kwa kua haijazoeleka
Nawasilisha