Zion Daughter
JF-Expert Member
- Jul 9, 2009
- 8,921
- 4,236
Hahahahaha,masikini Xpin wangu,namuweza mie tu jamani!Kweli Mungu alimuumbia kila mtu ubavu wakeAhahahhahah Xspin wacha abakie kuwa shemeji tu.....simuwezi mie! hata aongezewe cherry juu.LOL
Afu una bahati kweli kunipata. Wamenigombea weeeeeee! Hakuna aliyefanikiwa. Wewe yani ile siku nilivokuona tu, habari ikaishia hapo hapo. Yu knoo woram seyyying?Hahahahaha,masikini Xpin wangu,namuweza mie tu jamani!Kweli Mungu alimuumbia kila mtu ubavu wake
kama kawaida UMEKULA SENKSI!......zd alinisumbua sana wakati anakutongoza!Afu una bahati kweli kunipata. Wamenigombea weeeeeee! Hakuna aliyefanikiwa. Wewe yani ile siku nilivokuona tu, habari ikaishia hapo hapo. Yu knoo woram seyyying?
Afu una bahati kweli kunipata. Wamenigombea weeeeeee! Hakuna aliyefanikiwa. Wewe yani ile siku nilivokuona tu, habari ikaishia hapo hapo. Yu knoo woram seyyying?
kwi kwi kwi,yes i knoo ma dia.ni vile na mimi nakupendaga sana weye!
hahahaa,shemeji hizo siri za ndani huwa hatuongei mbele za watoto.Stuka.kama kawaida UMEKULA SENKSI!......zd alinisumbua sana wakati anakutongoza!
kama kawaida UMEKULA SENKSI!......zd alinisumbua sana wakati anakutongoza!
ha ha ha ha!sore ngoja nimalizie umbea ili twende sawa!...ulikuwa unamuhonga sana hela
jamaa akalewa!
ha ha ha ha
Modeeeee! modeeeeeeee! kile kibatani cha ziiiiiiiiiiiiiiii kiko wapi?.Shem kapitiliza ofutopiki! Kaibaka thread yake mwenyewe!HA HA HA!mpwa ni serengeti booi!
he he he he!
wacha bana!wewe bana umemsumbua sana zd...!na staili yako ya kung'ata vidole!
NIGONGEE SENKSI TAFADHALI
Sa hizi aibu zimeisha? halafu swali langu hujajibu.Nipitie basi twenzetu home, mida ndio hii.Hahaha! LOL! Nilikuwa namwonea aibu! LOL!
Sa hizi aibu zimeisha? halafu swali langu hujajibu.Nipitie basi twenzetu home, mida ndio hii.
Shem ntake radhi plzzzzzzzzzzzzzzzz ,chonde chonde,mie muhandisi? au hapa ni nini? ,mchumba hebu nisomeee vizuri.ha ha ha ha!mainjinia utawajua tu lugha zao