hahahaha subir uone fainal watatinga wakina nani... Nyie endeelen kula urojo hammy[/QUOTE
muna facilities zote za kuwafanya mupige hatua lakn hamna mnachofanya zaid kushiriki, zanzibar hizo tmu zenyewe wakisikia kuna mashindano ndo wanaokota okota wachezaji mitaan wanawapeleka kushindana na still tukicheza na nyny tunawalazimisha sare, vichogo hamna maana kabisa