Hivi huyo Hans Pope anajiona ana nguvu kuliko wanachama wote wa Simba....
Wanachama waite Meeting wakae waliongelee hili swala.. Huwezi kuacha 20 Billion wakati wachezaji wanalala kwenye guest za elfu 10 alafu wanashare vitanda... Huyu kocha nimemwona ni mzuri hana shida yeyote.. Tatizo ni hao viongozi wa Simba..