Hisia ndio injini ya mapenzi matamu
Narudia mapenzi ni hisia, hisia zikiwa kwa mtu fulani hata moyo, nafsi na akili yako yote itakuwa pale
Sauti yake pekee inaweza kukuvurunga kabisa yaani ukahisi kuchanganyikiwa, ukimgusa ndio balaa. Ukiwa naye ndio unakuwa chizi kabisa na akiku...unafika.
Mwanaume omba sana mwanawake utakayempenda akuelewe kuna maisha fulani utayaishi ambayo wakati mwingine huwa unayaona kwenye tv na masimulizi. Yeye atakufanyia ilivyo
MWANAMKE akiwa na hisia na ww ataishi maisha ya aina yako, kipato chako, atakushauri vyema na huwa msikivu na mtiifu mno. Huwa mzuri kuanzia kitandani, jikoni, kichwani na kila leo hutamani kuwa mpya kwako ili penzi lake lisife akapoteza thamani yake kwako.
MWANAUME akiwa na hisia na wewe hata kama alikuwa na amejiengesha mahala hupiga chini haraka sana ili kulinda mahusiano na mtu aliyemtafuta/aliyemhitaji siku nyingi wa matamanio yake.