N NGOMAYAMPWITA Member Joined Aug 23, 2015 Posts 32 Reaction score 19 Sep 7, 2015 #1 Makamu mwenyekiti wa ccm amempa makavu mungai kuwa ana njaa kali
Bukanga JF-Expert Member Joined Dec 13, 2010 Posts 2,857 Reaction score 1,937 Sep 7, 2015 #2 Kwahiyo yeye siku hizi kashiba? Subiri arudishwe mashinani kulima nyanya....
KILIVITE JF-Expert Member Joined Feb 14, 2013 Posts 1,302 Reaction score 556 Sep 7, 2015 #3 Kati ya Mungai na Mangula mwenye njaa nani?Huyu si aliokolewa akiwa katika vinyungu vya lukalifya,vitunguu na nyanya?
Kati ya Mungai na Mangula mwenye njaa nani?Huyu si aliokolewa akiwa katika vinyungu vya lukalifya,vitunguu na nyanya?
BONGOLALA JF-Expert Member Joined Sep 14, 2009 Posts 16,511 Reaction score 11,911 Sep 7, 2015 #4 Mungai anaongoza kwa sisi watanzania weusi kuwa na hisa nyingi zaidi katika makampuni yaliojiandikisha DSE. Huyu Mangula anatia huruma kutemwa ccm alifikia kuchanganyikiwa kwa kukosa hata mlo wa siku. Amshukuru sana kikwete kumkumbuka
Mungai anaongoza kwa sisi watanzania weusi kuwa na hisa nyingi zaidi katika makampuni yaliojiandikisha DSE. Huyu Mangula anatia huruma kutemwa ccm alifikia kuchanganyikiwa kwa kukosa hata mlo wa siku. Amshukuru sana kikwete kumkumbuka
gollocko JF-Expert Member Joined Dec 20, 2011 Posts 2,945 Reaction score 2,281 Sep 7, 2015 #5 Huyu si ndio yule ambaye hupata vyeo kwa kuwatoa ndugu zake kafara?