MALENGO YA WANAFUNZI KUSOMA REMEDIAL !

PAFECT

Member
Joined
Apr 19, 2013
Posts
16
Reaction score
2
Naomba kuuliza wanajamiiforum ivi ule utaratibu wa wanafunzi wa shule za sekondari kurudi shule kusoma masomo ya Jioni ( Remedial ) , na kutiliwa mkazo sana na serikali za sasa,,, Ni kweli mpango huo unalenga kuwabana baadhi ya watu kusoma masomo ya dini (Madrasa).
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…