chaggaa15 JF-Expert Member Joined Dec 6, 2015 Posts 567 Reaction score 468 Jan 18, 2020 #1 Nahitaji makabati kwa ajili ya duka la dawa... Mwenye ako nayo ani DM Sent using Jamii Forums mobile app
Nahitaji makabati kwa ajili ya duka la dawa... Mwenye ako nayo ani DM Sent using Jamii Forums mobile app
Kabinti ka ludilo JF-Expert Member Joined Sep 30, 2014 Posts 409 Reaction score 468 Jan 18, 2020 #2 Ndomaana pale mwanzo nilieleza kuwa ilikuwa ngumu Sana kwake kuheshimika kutokana na umri wake kuwa mdogo
Ndomaana pale mwanzo nilieleza kuwa ilikuwa ngumu Sana kwake kuheshimika kutokana na umri wake kuwa mdogo
Joselela JF-Expert Member Joined Jan 24, 2017 Posts 6,825 Reaction score 9,644 Jan 18, 2020 #3 Kabinti ka ludilo said: Ndomaana pale mwanzo nilieleza kuwa ilikuwa ngumu Sana kwake kuheshimika kutokana na umri wake kuwa mdogo Click to expand... Tena angalau angekuwa yupo smart angeheshimika lakini ndio anashinda hovyo hovyo hajijali ingawa ana kazi Nzuri tu. Sent using Jamii Forums mobile app
Kabinti ka ludilo said: Ndomaana pale mwanzo nilieleza kuwa ilikuwa ngumu Sana kwake kuheshimika kutokana na umri wake kuwa mdogo Click to expand... Tena angalau angekuwa yupo smart angeheshimika lakini ndio anashinda hovyo hovyo hajijali ingawa ana kazi Nzuri tu. Sent using Jamii Forums mobile app
samir nassir JF-Expert Member Joined Feb 5, 2017 Posts 1,119 Reaction score 1,478 Jan 18, 2020 #4 Ukifanikiwa ukiwa na umri mdogo na kupata pesa basi utaona watu wote wajinga na hutowaheshimu Joselela said: Tena angalau angekuwa yupo smart angeheshimika lakini ndio anashinda hovyo hovyo hajijali ingawa ana kazi Nzuri tu. Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... Sent using Jamii Forums mobile app
Ukifanikiwa ukiwa na umri mdogo na kupata pesa basi utaona watu wote wajinga na hutowaheshimu Joselela said: Tena angalau angekuwa yupo smart angeheshimika lakini ndio anashinda hovyo hovyo hajijali ingawa ana kazi Nzuri tu. Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... Sent using Jamii Forums mobile app
The dream JF-Expert Member Joined May 10, 2015 Posts 999 Reaction score 997 Jan 18, 2020 #5 Inasikitisha sana Haya maisha tuyaone hivi hivi tu Sent using Jamii Forums mobile app
Killmonger JF-Expert Member Joined Jan 11, 2015 Posts 2,027 Reaction score 2,250 Jan 18, 2020 #6 Ni mimi nimechanganyikiwa au ? Mbona nimeshindwa kuelewa kabisa.
Kabinti ka ludilo JF-Expert Member Joined Sep 30, 2014 Posts 409 Reaction score 468 Jan 18, 2020 #7 Joselela said: Tena angalau angekuwa yupo smart angeheshimika lakini ndio anashinda hovyo hovyo hajijali ingawa ana kazi Nzuri tu. Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... Hakukuwa na ajuza miongoni mwao ijapokuwa yule hodari muonekano wake Ni kama kibibi kizee Cha mitaa ya london
Joselela said: Tena angalau angekuwa yupo smart angeheshimika lakini ndio anashinda hovyo hovyo hajijali ingawa ana kazi Nzuri tu. Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... Hakukuwa na ajuza miongoni mwao ijapokuwa yule hodari muonekano wake Ni kama kibibi kizee Cha mitaa ya london
Kabinti ka ludilo JF-Expert Member Joined Sep 30, 2014 Posts 409 Reaction score 468 Jan 18, 2020 #8 Killmonger said: Ni mimi nimechanganyikiwa au ? Mbona nimeshindwa kuelewa kabisa. Click to expand... Ni kweli ilitokea pia kwenye Yale masimulizi ya zamani... Hasa katika hadithi za bwana yule alizo ziandika kwa manyoya ya kuku wakati wa mvua za vuli
Killmonger said: Ni mimi nimechanganyikiwa au ? Mbona nimeshindwa kuelewa kabisa. Click to expand... Ni kweli ilitokea pia kwenye Yale masimulizi ya zamani... Hasa katika hadithi za bwana yule alizo ziandika kwa manyoya ya kuku wakati wa mvua za vuli
Thad JF-Expert Member Joined Mar 14, 2017 Posts 13,402 Reaction score 31,652 Jan 18, 2020 #10 Killmonger said: Ni mimi nimechanganyikiwa au ? Mbona nimeshindwa kuelewa kabisa. Click to expand... Huna haja ya kuchanganyikiwa mkuu, pita zako kimya kimya kama mimi
Killmonger said: Ni mimi nimechanganyikiwa au ? Mbona nimeshindwa kuelewa kabisa. Click to expand... Huna haja ya kuchanganyikiwa mkuu, pita zako kimya kimya kama mimi
Killmonger JF-Expert Member Joined Jan 11, 2015 Posts 2,027 Reaction score 2,250 Jan 18, 2020 #11 Kabinti ka ludilo said: Ni kweli ilitokea pia kwenye Yale masimulizi ya zamani... Hasa katika hadithi za bwana yule alizo ziandika kwa manyoya ya kuku wakati wa mvua za vuli Click to expand... You are woman?? You are smart .
Kabinti ka ludilo said: Ni kweli ilitokea pia kwenye Yale masimulizi ya zamani... Hasa katika hadithi za bwana yule alizo ziandika kwa manyoya ya kuku wakati wa mvua za vuli Click to expand... You are woman?? You are smart .
Kabinti ka ludilo JF-Expert Member Joined Sep 30, 2014 Posts 409 Reaction score 468 Jan 18, 2020 #12 Killmonger said: You are woman?? You are smart . Click to expand... Ni kweli pia