Majibu ya maswali ya usaili

Peter Madukwa

JF-Expert Member
Joined
Sep 20, 2012
Posts
3,140
Reaction score
2,499
1. Kwanini unadhani wewe ni mtu sahihi kupata hii kazi na si wengine?

2. utaleta kitu gani kipya katka taasisi yetu.. Au utaisaidia nini taasisi yetu?

3. unadhani ni changamoto gani utakutana nazo hapo baadaye tukikuajiri katika nafasi uliyoomba?

4. Ni nini udhaifu wako?

NAWASILISHA
 
swali namba nne:inabidi utaje ur positive weakness. ni udhaifu ambao unafaida kwa taasisi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…