Wewe brother sio smart Kabisa. Mdogo wangu alikupa kazi ya kumsajilia kampuni yake tangu December 2015,cha ajabu hela umechukua na mpaka leo hii umekaa kimya tu simu hupokei wala sms hujibu kama sio utapeli ni nini?.Acha kuhadaa watu humu kwenye mtandao.