Mahari ya kabila la Wahadzabe

SEGUZO

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2016
Posts
280
Reaction score
198
Kwanza kabila hili ndio kabila dogo zaidi nchini Tanzania idadi yao ni karibu watu elfu moja maisha yao hutegemea uwindaji na mazao ya porini.
.
Wahadzabe wanaoana kwa mahari ya Nyani wawili na debe la asali ambaye kwa kabila lao ndio vitu vyenye thamani zaidi

Sent using Jamii Forums mobile app
hapa anatolewa Nungu kwenye shimo
 
Hii ni habari au history yao?!sababu umeielezea kama unawai mwendokasi!
 
Moja ya kabila lenye wanaume halisi waliobakia TZ...wakija Dar hawa shughuli, Panya Rd na Kiboko Msheli wote kwishnei..
 
Hivi ili kabila lina mbunge anae wawakilisha?

je lina warembo wazuri?

Hwa inaonekana hawajakumbwa na mtikisiko wa uchumi wa jpm
 
Duuuu hao nyani hakuna mbadala au kubadilisha kuwa fedha? Maana watu mia wakienda huko tunapoteza nyani 200. Tunamaliza mbuga zetu
 
Halafu nasikia mishale yao ina macho....akiutuma kwako lazima ukutafute mahali ulipo na ukusalimie kwa adabu iwe utosini, kifuani, mgongoni popote pale utakapoelekezwa. Waulize wamasai watakwambia habari zao.
 
Duuh hao nyani hawana mbadala labda kubadili labda kwa fedha maana watu mia wakienda kuoa mabinti wa huko tunapoteza nyani mia mbili tunaua kizazi cha nyani sasa
 
Halafu nasikia mishale yao ina macho....akiutuma kwako lazima ukutafute mahali ulipo na ukusalimie kwa adabu iwe utosini, kifuani, mgongoni popote pale utakapoelekezwa. Waulize wamasai watakwambia habari zao.
Naheshimu mawazo yako ila hili naona kama Gahawa.
 
Naheshimu mawazo yako ila hili naona kama Gahawa.
Mkuu uisome mara mbili tatu utaelewa...kwa msaada zaidi namna ya kuelewa nilichokiandika. Watafute Wamasai waliowahi kukumbana na jamii hii katika harakati zao za "kukusanya" ng'ombe wanaodhani ni mali yao!
 
Duuuu hao nyani hakuna mbadala au kubadilisha kuwa fedha? Maana watu mia wakienda huko tunapoteza nyani 200. Tunamaliza mbuga zetu
Hahahaaa. labda ndio maana wanazaana taratiiiiiiibu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…