Magufuli Mapumzikoni Chato

mmmh ikumbukwe hasomeshi wajawepesi
 
mleta taarifa, huyu ni Mtoto au mjukuu wake?
 


Kubwebwa na Rais wa nchi ni mojawapo ya Heshima kubwa sana hata kama Rais huyo ni ndugu yako!
 
Nampenda sana rais wangu, kila siku huwa namuombea kwa Mungu ampe maisha marefu

Sent from my TECNO-Y3+ using JamiiForums mobile app
 
Kuna mtu ameenda nje mara nyingi kuliko hata kijijini kwao.

Sasa naona yeye anatuonesha! "kijijini kulivyo kwa muhimu"


Sijui ni tripu ya ngapi hii huko "chattle" yaani hapo "Chattle International Airport" bado haijaisha, je ikiisha si ndio ataenda kila siku? {kwenda na kurudi}
 
Muda wa likizo tayari? Namtakia mapumziko mema.

Sent from Iphone price 5Mil using JF nchi za nje.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…