Mkala Maulid -CDA
Idi Msakaa -Pan Africa
Juma Mhina- Pamba FC baadaye Yanga, nakumbuka huyu alikula bao 5 kule Misri, Yanga alipokula 5-0 kwa National Al Ahly miaka ya 1980.
Nasikia Kichochi in Marehemu.Alikuwa na Mbwembwe sana golini wakati huo akiwa na ukuta imara was Hussein Kaitaba,Godwin Kichemu,Mavumbi Omari katikati marehemu?Zahoro Sabu ambaye haddad alisajiliwa Simba dah.....