Mangi flani hivi
JF-Expert Member
- Jan 2, 2016
- 2,026
- 3,100
Asee nimeelewa kwa Kiwango cha PhD.mangi katika maisha yako yote USIJARIBU KUTEMBEA NA SHEMEJI YAKO NI LAANA kila jambo utashindwa tu kama hujaelewa njoo pm
Chuma umeua.... Kwa hiyo watu walikuwa pale chini yake wanafanya Yao...Mkurupukaji angeshuka chini aone wataalamu walivyoshuka wanakaribia kufika KIA.
Chuma umeua.... Kwa hiyo watu walikuwa pale chini yake wanafanya Yao...
Kwani aliyetoa hilo waZo unamuona yuko sawa sawa kweli ?Madini yapo ardhini, unazungushaje UKUTA huku juu??
Au amesahau kuwa kuna kina El Chapo Guzmane.??
Naomba kueleweshwa........
PHD ya miaka mitatu kama baba jesca au ile yenyewe ya miaka mitano ?Asee nimeelewa kwa Kiwango cha PhD.
Mkuu hii ni ile og.PHD ya miaka mitatu kama baba jesca au ile yenyewe ya miaka mitano ?
GoodMkuu hii ni ile og.
Naona kwa mbaaali watu wasiojulikana wakikunyatiaKwani aliyetoa hilo waZo unamuona yuko sawa sawa kweli ?
Kwani aliyetoa hilo waZo unamuona yuko sawa sawa kweli ?