J joline365 Member Joined Sep 23, 2012 Posts 26 Reaction score 8 Nov 12, 2012 #1 Wiki iliyopita nilisoma kwenye gazeti la nipashe kuhusu kuanza kuhojiwa kwa madaktari walioshiriki kwenye mgomo na hatimaye kusitishiwa usajili na walisema wanaanzia Mbeya. Naomba mwenye updates ya kilichojiri na kinachoendelea mpaka sasa atujuze.
Wiki iliyopita nilisoma kwenye gazeti la nipashe kuhusu kuanza kuhojiwa kwa madaktari walioshiriki kwenye mgomo na hatimaye kusitishiwa usajili na walisema wanaanzia Mbeya. Naomba mwenye updates ya kilichojiri na kinachoendelea mpaka sasa atujuze.
rushanju JF-Expert Member Joined Nov 3, 2011 Posts 3,327 Reaction score 5,599 Nov 12, 2012 #2 Ukianzaisha thread ujue jinsi ya kuindeleza. Update akupe nani sasa...