Ivi umesema Laptop au?
Mbona kama sielew, kama ni laptop inaukubwa wa mita ngapi je ni 100*100 au umepima kwa hatua.
Utofaut wake na hii yangu latitude dell ni up
Je ukitumia hiyo au fail mitihani au haukosi kazi
Au ukitumia mshahara unakua maradufu
au inatumika kwa matumizi gani,
Kulimia
Kusaga
Au inaongeza nguvu za kiume
Au inatakasa dhambi zako
Au ukitumia hauzeeki