uda ni kampuni ya kimagumashi, wamiliki wake ambao ni kisena na wenzie wako pale botion tu! ila wamiliki halali ni ile familia inayopenda kwenda ulaya kuliko kwenda kujijini kusalimia familia zao!
Je ofisi za DARCOBOA ziki wapi? na mnaweza kunisaidia number za maafisa wake nataka kuanzisha biashara ya Daladala.. Nikipata number Mwenyekiti (Said Mabrouk) au mtendaji wake nitashukuru.