Mabasi ya UDA hayaonekani

Dartz

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2015
Posts
258
Reaction score
90
Wana JF,

Naomba kujuzwa, nina kama siku nne hivi siyaoni mabasi ya UDA barabarani, kulikoni?
 
yako lupango yote, mmiliki wake ameingia mitini. Hapa kazi tu.
 
uda ni kampuni ya kimagumashi, wamiliki wake ambao ni kisena na wenzie wako pale botion tu! ila wamiliki halali ni ile familia inayopenda kwenda ulaya kuliko kwenda kujijini kusalimia familia zao!
 
sasa wameyaficha wapi? ha ha ha
 
mbona yapo mengi. WAULIZE WATU WA MBAGARA, KIGAMBONI-KONGOWE. HUO NDIO USAFIRI WAO
 
uda imehamamia mikononi, ngoja ipumzike, itarudi kivingine ikiwa saaaaaf.....
 
Nasikia haya mabasi yanamilikiwa na wakubwa fulani.
 
Hi Guys,

Je ofisi za DARCOBOA ziki wapi? na mnaweza kunisaidia number za maafisa wake nataka kuanzisha biashara ya Daladala.. Nikipata number Mwenyekiti (Said Mabrouk) au mtendaji wake nitashukuru.
 
Baada ya kukabiliwa na kashfa kubwa ya kutolipa kodi wamebadilisha rangi na yanaendelea kupiga kazi!!!!
 
Baada ya kukabiliwa na kashfa kubwa ya kutolipa kodi wamebadilisha rangi na yanaendelea kupiga kazi!!!!

Sio solution lazima jipu litumbuliwe kisena na mokoriz wawajibishwe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…