Mwendo kasi hausababishi ajari bali ubovu wa magari na barabara kuwa mbovu, finyu na barabara kutokuwa na alama za barabarani ndio huchangia ajari kutokea.
kipindi basi za zakaria zinakuja dar siku moja alifika shynyanga mjini(stendi ya zamani)saa kumi na mbili trafick wakamweka lock up kwa masaa mawili.
ALYS enzi inakuja dar nshafika saa tatu kasoro
NAJMUNISA nshaingia shinyanga saa moja na nusu
ALYS ya kahama ishanifiksha saa moja dar
Na siku moja kwenye ZUBERI kuna wamama walikaa nyuma walirushwa hadi wakatoa damu kpndi barabara inajengwa maeneo ya km unatoka manyoni unaelekea singida
Kuna mdau mmoja ametaja gari la Leina, inaitwa LEINA TOURS, route ya DAR - KAHAMA, ni balaa tupu. Nshawahi kutoka Kahama sa 12 asbh, sa 1 jioni, tulikuwa foleni ya Ubungo, hilo basi linaovertake mpaka mashangingi.