keynessian
JF-Expert Member
- Feb 28, 2014
- 588
- 407
Habari za wasaa huu,
Leo nimeshtukia kuna hivo vitu vinaendelea kwenye mabega yangu.
Siwashwi wala sijiskii chochote
Imetokea sehemu zote mbili za mabega.
Hii inaweza kuwa tatizo gani.
MREJESHO
Sent from my iPhone using JamiiForums
Leo nimeshtukia kuna hivo vitu vinaendelea kwenye mabega yangu.
Siwashwi wala sijiskii chochote
Imetokea sehemu zote mbili za mabega.
Hii inaweza kuwa tatizo gani.
Nashukuruni wakuu ni kitambo kidogo, nilishapona
issue ilisababishwa na kushare bench gym na nilionana na Dr nikapewa utaratibu wa kufanya
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent from my iPhone using JamiiForums