Brothers...
Historia ya uhuru wa Kenya haikamiliki bila Mau Mau na Wakikuyu.
Huku si kuiangalia historia hiyo kikabila.
Ndiyo ukweli wenyewe.
Historia ya uhuru wa Tanganyika haikamiliki bila kutaja mchango wa Waislam.
Huu ndiyo ukweli wenyewe.
Iko wewe unachukizwa na ukweli huu ni bahati mbaya.