M23 yakinukisha tena DRC

VERITE-NUE

JF-Expert Member
Joined
Jan 28, 2019
Posts
1,481
Reaction score
1,450
Leo tarehe 23 July, 2025, huko Rutshuru, Kivu kasikazini,toka alfajili, inasikika milio ya bunduki nzito. Ni kati ya AFC/M23 na makundi wa Wazalendo na FDLR.

Kivu kusini na kwenyewe,huko Masisi, kundi la CMC-FDP na NDC-R Walikale, na wenyewe walipambana, na mpaka sasa,hakuna walioweza kuirudisha nyuma M23.

Haya yanaendelea,huku wiki iliyopita, serikali ya DRC na M23 walisaini makubaliano ya awali ya kusitisha vita; kila upande umekuwa ukiushutumu mwingine kuongeza nguvu kazi na silaha, serikali ikihofia M23 inaitaka Uvira.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…