ha haha haaa,huu mlolo shida ulishatupeleka kiwanda cha majani ya chai CHIVANJE,njia kama unaenda KYELA km kama 5 hivi kutoka ushirika,kuna mashamba mengi ya chai,na enzi za umiseta TKY town pale limetubeba sana,huku tukipiga free style ya nyimbo ya DMX ilikuwa inaitwa RUFF RYDER ANTHEM,kitambo sana aisee...Hahaha toroka pale pita mibula ibukia ndubi then ushirika ule kitimoto....View attachment 564124
Hapo mz. Mwajilala utamuelewa na gari yake
Umesoma wapi?ahhhahaa sijasoma LUTENGANO ila tuliwah kwenda matema beach uwii tukakutana na wavukana wa lutengano hahaha wakiorofi mbayaaa humo kwemye maji ilikua selfie tu za kukamatia viuno !dadek zenu ..mie kitu Pandahill
Enzi za Fr. Nyaisonga??pandahill-songwe
Enzi za Fr. Nyaisonga??
Dah! Gari ya Mzee mwajilala limekalia mawe?!!Hahaha toroka pale pita mibula ibukia ndubi then ushirika ule kitimoto....View attachment 564124
Hapo mz. Mwajilala utamuelewa na gari yake
OK, moja kati ya shule bora kabisa kwa mbeya hadi leo!nishawasahau... ila kbl haijachukuliwa na RC ..wakat huo ilikua chini ya magereza..
OK, moja kati ya shule bora kabisa kwa mbeya hadi leo!
Imerudi poa tu, mbona hata Lute ilipoteana kipindi fulanimhh kuna kipindi nilikua naskia inafanya ovyo!
Imerudi poa tu, mbona hata Lute ilipoteana kipindi fulani