Lowassa awaharibia CCM Tabora

Mimi nasubiri kuona leo Nzega kwa bashe hari itakuwaje?
 
Ngome ya ccm ipo TABORA kama imevunjwa...... Baaaas hakuna kila kitu....
 
Bashe ana wakati mgumu sana.ni kijana wa Lowasa then yuko upande wa pili.hapo mziki
 
Tumeona



Na hivi



Na hivi

 
Namuomba mungu niuone hatima ya uchaguz wa mwaka huu,
KUNA KILA DALILI YA mmoja wao kuomba poo!.
TUTAHESHIMIANA TU.
 
Hayo ndio mabadiliko tunayotaka , ya kutoa bulb zilizoungua na kuweka mpya. Honorable Tabora, najua ninyi mtafanya kweli 25 October
 
Watu wa tabora sio wajinga, wameona upepo unavyoenda wamekua wajanja, hawataki kuja kuaibika.
 
Ccm oyeeee hizo picha za kuchanga kila siku tunaziona ccm mbeleee. mbele
 
Mpiga mpicha wa ukawa mzuri sana amesomeya vizuri uchaguzi ikimalizika najua utakuja ccm kutaka kazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…