Love's diary

M.A

Member
Joined
Nov 20, 2013
Posts
34
Reaction score
6
UK1..... Ghafla Michael Andrew (M.A) anapushiwa na gari aina ya Rava4 ambayo ndanimo palikuwa na msichana mmoja na dada yake waliojulikana kwa majina ya Marry na Agness. Michael aliangukia kwenye mtaro na kupoteza fahamu. Chanzo cha kugongwa kwake hakikufahamika ni nin kilichosababisha agongwe, kwan kabla ya yeye kugongwa, alionekana ni mtu mwenye mawazo na mwenye kuogopa watu wanaomuangalia sana. Alikimbia kwa kasi kubwa kutoka eneo moja kwenda nyingine kabla ya kuingia kwenye uso wa gari. Ndipo Agness aliposimamisha gari na kutoka ndan yeye pamoja na mdogo wake Marry. Walielekea kule alikoangukia michael na kumkuta ana hali mbaya. Walijawa na huruma wakaamua kumchukua na kumpeleka hospital kwa ajili ya matibabu. Hakuweza kutokea hata ndugu yake aliyediriki kumuulizia. Ili wabidi wao ndio wawe ndugu zake hapo hospital. Agness alimuamuru marry abaki na mgonjwa akimuuguza kwa muda ule. Daktari alimpima ili atambue ni eneo lipi aliloumia. Alipomaliza kumpima aligundua... INAENDELEA UK2
 
Kuna watu wanapenda usimulizi lakini uandishi zero!!
 
INATOKA UK1, UK2... Alpompima kwa kumpga x-ray algundua kuwa amepatwa na mvunjko wa mfupa mkono wa kulia ambao aliangukia. Pia daktar almuona kuwa ni mwenye msongo wa mawazo. Agnes alpita kumuona mgonjwa kabla ya kwenda kazin kwake. Alpofika hospitaln daktar alimueleza jeraha alilolpata na jins michael anavyoonekana kuwa n mtu mwenye msongo wa mawazo meng. Hvyo walishauriwa kuwa anapaswa atunzwe kwa umakn kwan mawazo yakzd humpelekea mtu kuchanganykiwa (kuwa kchaa). Alitibiwa mkono na akaweza kupata nafuu. Hvyo ilhitajika aende nyumban baada ya kuruhusiwa. Agnes na marry waljadiliana kuhusu michael, waliambiana kuwa, kijana huyu hatupajui kwao na tukimuacha aende tu ovyo hajapona vizur tutakuwa hatujatenda hak kwan kaumilia mikonon mwetu. Na anavyoonekana ni mwenye msongo wa mawazo sana. Marry almshauri dada yake kuwa wampeleke nyumban wanakoish wao. Agnes aliliunga mkono wazo la mdogo wake. Aliporuhusiwa walmpeleka kwao kuish nae na pind atakapopona kabisa ndpo watakapomwambia aende kwao... INAENDEKEA UK3
 
mhhhh hivi msongo wa mawazo unaweza kuupima???zaidi ya kujua viashilia vyake kama pressure kupanda au kushuka....UNAJITAIDI KUTUNGA IKIFIKA SEHEMU YA MWISHO NIAMBIE...
 
INATOKA UK2, UK3.... Wakamchukua na kumpeleka nyumban kwa niaba ya kumpatia huduma mbalimbal. Agness na marry walipomfikisha mgonjwa wao nyumbani, walimkarimu vizur ili aweze kupunguza kuwaza sana. Agness alielekea kazini baada ya kumfikisha mgonjwa nyumban. Sasa yapata wik mbil akiwa pale. Walchompendea zaid ni ufanyaj wake kaz nyepes nyepes kulingana na ugonjwa alio nao. Alfanya kaz ya kumwagilia maua kwa hiari bila kuambiwa na mtu. Pia aliish katka nyumba ile akiwa ni mtu mwenye ustarabu ambao upande mwingine ulimvutia sana marry. Marry alimueleza dada yake kuwa kijana huyo anaendana na boyfriend wake waliopoteana muda mrefu kwa matatzo tu ya binadamu. Pindi walivyoendelea kuishi nae marry alivutiwa mno na tabia ya michael. Hivyo walishindwa kabsa kumwambia aende kwao kwan wote waliridhishwa na tabia yake. Mwez mmoja baadae bwana wa agness alirejea kutoka katika mihangaiko yake. Alipowasili pale alishangazwa kumkuta michael pale. Hisia za jamaa yule aliyejulikana kama erasto zilimtuma kuwa.. INAENDELEA UK4
 
INATOKA UK3, UK4.... Ni mwanaume ambae amechukuliwa na girlfriend wake kumlipizia ubaya aliyowahi kumfanyia. Erasto aliingia ndan huku akiwa amekasirika sana kutokana na kumkuta michael nje akiwa ni mtu aliyekuwa amejishika shavu kwa mawazo. Erasto aliwakuta agness na marry wakiwa sebulen wanaangalia movie ya "vampire diary". Aliwasalimia na wao wakamuitikia. Agnes alipomuangalia ndipo alipogundua kuwa boyfriend wake amekasirika. Agnes aliinuka na kwenda chumban, ndipo alipomwita erasto na kumuuliza ni kipi ambacho kilichokuwa kimemkasirisha. Ndipo Erasto alipomuuliza kuhusu yule mvulana. Agness alimuhadithia yaliyotokea na hivyo wamemchukua na kumuona kama kaka yao wa hiari. Suala hilo erasto halikumuingia vzuri akilin. Alijiapiza kumfanyia vitimbwi ili mradi aondokd michael pale. Siku zilivyozd kusogea marry alianza kuwa nae karibu. Lakn michael alionekana ni mwenye mawazo sana. Marry alijaribu kumliwaza lakn hakufua dafu. Hivyo marry alianza kumuhoji kuwa ni yapi yanamsibu zaid.. INAENDELEA UK5
 
haya jamaa ikiendelea mtaniita.....
 
INATOKA UK4, UK5... Na Marry kumbembeleza kote huko Michael ili amwambie ni yapi yanamsibu, lakn michael hakuweza kumwambia chochote kile. Siku zilivyoendelea ndipo erasto alianza kumnyanyasa michael pind agness na marry wanapokuwa hawapo. Alimfanyisha kaz ambazo hakuweza kuzifanya vizuri kutokana na maumivu ya mkono wake. Aliteswa sana na mwanaume mwenzake kwa sababu ya uwepo wake pale na kuish pale kama yatma. Michael alishindwa kuelewa afanye nn na aende wapi kwan jiji alilokuwepo silo alilozaliwa yeye na kukulia. Hivyo mara nyingi alishindwa kuelewa nn kilichompeleka katika jiji lile na wapi aende? Akiwa katika mawazo hayo, erasto alimuongezea kaz nyingine ya kufua nguo bila kujal afya yake. Michael alizifanya kaz zote huku machoz yakimbubujika. Alipozimaliza kaz alizopewa, alikaa pemben na kuanza kuwaza zaid huku akiendelea kulia. Agnes na marry walirudi nyumban. Ndipo walipomkuta michael kajiinamia huku machoz yakimtoka. Walishuka kutoka kwenye gari na kumfuata il wajue ni kipi kimemkuta. INAENDELEA UK6
 
UK6.... Walimuliza ni kp kilichomkuta mpaka kikamsababishia yeye kutokwa na machozi? Michael hakujibu chochote, bali aliendelea kuwaza. Hofu yao ilikuwa kwamba, endapo watamuacha aendelee kuwaza basi anaweza kuchanganyikiwa na kuwa kichaa. Walimchukua na kumpeleka ndan. Michael aliketi kwenye sofa huku akiendelea kuwaza. Kiukweli marry hakupenda kabisa amkute au amuone michael kuwa ni mwenye mawazo. Mara kwa mara marry alikuwa anajiwaza na kujiuliza maswali haya, hiv ni kwann michael anakuwa ni mwenye kuwaza sana. Na ni kwann tulipomgonga na gari alikuwa ni mwenye uoga na hatimae kujikuta tunamgonga? Hujisemea mwenyewe kuwa hapa lazma patakuwa na tatzo kubwa juu yake linalomkabil. Sasa cha muhimu lazma nitambembeleza mpaka nilijue tatizo lake, alijisemea marry. Sasa imekuwa destur kla wanapoondoka agnes na marry, erasto kumfanyisha kaz michael, na michael anashindwa kuwaambia agnes na marry matatzo yanayomkumba. Kutokana na matatzo kuwa meng kwake, anavzia sku ambayo marry na agnes watakapoondoka.. INAENDELEA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…