Heaven on Earth
Platinum Member
- Mar 21, 2013
- 37,233
- 26,753
Ujumbe wake ukimtumia x wako umemletea dharau kubwa sana. We ni Belieber mkuu?
Ndio ringtone yangu nayotumia kwenye notification zote za sim[emoji18] [emoji1]. Mzuri sana
Haaaaa nitakuja mtumia my X...
Justin ana nyimbo nzuri.. napenda kusikiliza.."life is worth living" "purpose" etc...
Naomba audio yakeHii album yake ya Purpose ni nzuri sana. Nadhani Grammy ijayo atachukua awards za kutosha.
Naomba audio yake
Ngoja nikupmNatumia simu labda kwa WhatsApp.
Ngoja nikupm
Utakua unamchokoza tu kama akusumbui[emoji1] ila kama anasumbua ukimtumia ujumbe unakua umefika. Album yake nzuri sana wangepishana na adele kidogo kuachia Album zao ingekua kubwa zaidi ya ilivo.Haaaaa nitakuja mtumia my X...
Justin ana nyimbo nzuri.. napenda kusikiliza.."life is worth living" "purpose" etc...
Mpenzi wako gani tena?hahahahaha Mkuu unatisha, leo nitaenda uliza aisee sikubali kabisa hii kitu. Mupenzi wangu kila siku baby huenda anamaanisha nina mambo ya kitoto kweli usicheke, labda unifafanulie zaid kama kuna maana nyingine.
teh teh
Nakuita baby wangu kwa kuwa napenda kukubembeleza na kukudekeza kama mtoto.teh teh teh, hapo nimefurahi kabisa. so tuseme ananiita jina baby kuniongezea furaha sio?
Asprin wangu uko wapi maana nilitaka baadae nikuulize y unaniita baby aisee, but sasa nimeelewa kabisa.
Asprin kuja kipande hii tafadhali tujifunze
Njoo uichukueNaomba audio yake
Audio tayari bado vdio[emoji12]Njoo uichukue
Ukishakunywa hiyo sumu kabla hujakufa naomba tenda ya chakula na vinywaji siku ya mazishiMpenzi wako gani tena?
Ah uvumilivu ushanishinda ngoja nikatafute sumu.
Nahisi naibiwa, nachanganyikiwa!
Tatizo huwezi kuwa mpishi siku ya msiba wakoUkishakunywa hiyo sumu kabla hujakufa naomba tenda ya chakula na vinywaji siku ya mazishi
Kwani msiba wangu au wakoTatizo huwezi kuwa mpishi siku ya msiba wako
Umesahau utakufa kabla yangu?Kwani msiba wangu au wako
Hebu unipe hiyo tenda uko
Shindwa pepoUmesahau utakufa kabla yangu?
Napenda mie darling loooh nilitaka niwahakikishie ninavyo enjoy atiNakuita baby wangu kwa kuwa napenda kukubembeleza na kukudekeza kama mtoto.
Au hupendi baby ake mimi?
baby sina mwingine ati, nilikuwa namaanisha wewe that is y nikawa nakuita uje useme ukweliMpenzi wako gani tena?
Ah uvumilivu ushanishinda ngoja nikatafute sumu.
Nahisi naibiwa, nachanganyikiwa!