Locally Toyota Hilux

ASHA NGEDELE

JF-Expert Member
Joined
Jul 5, 2011
Posts
784
Reaction score
327
Model: 1989
Engine: 2L - Diesel
Price: 6milion (Negotiable)
All duties paid
Located in Dar es Salaam



 
Labda macho yangu.
Lakini kwa pick up ni bei rahisi wakuu,halafu kama ni lile toleo la roho ya paka basi hapo mtu atatumia mpaka wajukuu.
Maana body ipo vizuri sana.Halafu zina body kubwa kuliko hivi vi carry vyetu,tofauti ni ndogo tu ya ulaji wa mafuta.
Hembu tupe sababu ya kuuza,na imetumika bongo tangu lini.
Na je Engine imewahi kufunguliwa kitu?
Na je ni four wheel au?maana sikumbuki kama kuna four wheel hili toleo
Na hapo kwenye picha naona Driver yuko kwenye kazi,je unauza na driver au?hahaha lugha ya kibiashara umenielewa ila wengine watasema nanunua mtu
 
Mkuu hujakosea ni gari ngumu sana lakini nataka kubadili niagize kubwa. Ni kweli nauza bei rahisi na inaonekana unazijua hizi Hilux. Engine nimeibadili mwaka jana ila nimefunga same engine (2L) sababu ya kwanza ilikua imetumika sana.
 
Gari inafanya kazi haijalala ndo mana nimemuweka na dereva and NO dereva anabaki
 
NIMESHUSHA BEI NAUZA 6MILLION. NIPIGIE TUFANYE BIASHARA
 
nazijua vyema hizi. Mi ninayo moja ya mwaka 1996. Ina engen ya 3y ila ni automatic naiuza mil 9 ya kuanzia ila inashuka akitokea anaeitaka ani pm namba ake nimtumie picha manake sina utaalam wa kuweka picha humu
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…