johnsonmgaya
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 2,818
- 3,725
Nakataa afande rasta yule ukimuona tu huna haja ya kuulizaAfande sele
No usipotoshe madaKwahiyo unataka kila msanii
-Apige wave na Superblack Kichwani.
-Avae Supra na Midosho mingine ya mirangi rangi.
-Apake poda na kupiga mikorogo
-Ajichore mitatuu kibao na kuvaa miereni.
-Apige micheni kibao shingoni na mikononi.
Asipofanya Hivyo Huyo sio Msanii kwa mujibu wako?
Huo ni Mtizamo wako mie nikimwona Alikiba siwezi jua kama ni msanii labda ninaweza nikamfananisha na wale jamaa wa The Gods Must be Crazy...Samahani Lakini.No usipotoshe mada
alikiba hana tatu hata moja mwilini lakini amekataa kisanii.
maana yangu msanii anatakiwa ukimuona tu ujue huyu ni nani.
mtu kama benpol ni kama muimba kwaya huwez jua kaz yake mpaka uulize kama ni mgeni hapa bongo.
Nikki wa pili amekaa kisomi so anapendeza akifanya kaz ofcini
Teh teh teh kwani hujui kama wale pia ni mastaa? Anyway kila mtu anamtazamo wake na wala cjafanya bias yyteHuo ni Mtizamo wako mie nikimwona Alikiba siwezi jua kama ni msanii labda ninaweza nikamfananisha na wale jamaa wa The Gods Must be Crazy...Samahani Lakini.
Ni Mastars lakini wamekaa kama walugaluga na si kistar.Teh teh teh kwani hujui kama wale pia ni mastaa? Anyway kila mtu anamtazamo wake na wala cjafanya bias yyte