nitaiweka story ya maisha ya Tyson humu kesho,ni mtu nimemfuatilia sana,kwa kifupi ni hivi Tyson amefulia kutokana na life style,jamaa alinunua ma gari zaidi ya 100 mengine anaacha gereji mengine ananunua jipya leo asubuhi jioni ikifika ameligonga kidogo analipeleka garage anaacha huko na mengine washkaji walikua wanaomba kuendesha alafu anasahau yalipo