Libolo laishinda Simba

Petro E. Mselewa

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2012
Posts
10,346
Reaction score
26,138
Wawakilishi wa Tanzania Bara katika Michuano ya Klabu Bingwa Barani Afrika,Simba wamelazwa bao moja kwa sifuri Uwanja wa Taifa. Matokeo hayo yanaiweka Simba katika nafasi finyu ya kufuzu kwa hatua inayofuata. Simba inahitaji ushindi kwenye mchezo wa marudiano utakaopigwa Angola katika majuma mawili yajayo. Libolo litadhibitiwa nyumbani Angola?
 
magazeti ya kesho,
majira simba yakalia libolo...
Nipashe Libolo moja tu simba hoi...
mwananchi libolo laichana simba...
kasheshe simba ndembendembe kwa libolo...
tz daima chezea libolo weye!
 
magazeti ya kesho,
majira simba yakalia libolo...
Nipashe Libolo moja tu simba hoi...
mwananchi libolo laichana simba...
kasheshe simba ndembendembe kwa libolo...
tz daima chezea libolo weye!
Vitauza sana vichwa hivi
 
Mwanaspoti:Acha LIBOLO liitwe LIBOLO,simba mashahidi!
 
Huyo Rage ataipeleka Simba pabaya. Kumbe wale jamaa wa Mpira Pesa walishamshtukia siku nyingi. Utaingiaje kwenye michuano ya kimataifa bila striker wa kimataifa? Kwa nini walimuuza Okwi bila kufanya replacement? Time is up for Rage.
 
Tatizo Simba uongozi wanauza striker Okwi wananunua kipa Mganda wakati wanajua hachezi na hatopata namba mbele ya Kaseja.Si bora wangenunua Striker.Rage bure kabisa
 
Soka si ufundi au uhodari tuu wa kusema 'AWALI YA YOTE NAMSHUKURU MUNGU...........' na misamiati kibao kwenye vyombo vya habari!
 
Tatizo Simba uongozi wanauza striker Okwi wananunua kipa Mganda wakati wanajua hachezi na hatopata namba mbele ya Kaseja.Si bora wangenunua Striker.Rage bure kabisa
Huyu (bolded) kamtoa Maximo hapa, si wa kuchezea hata kidogo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…