Laptop za bei rahisi

Kwa maelezo yako inaonekana huna ujuzi na mambo ya computer..pole sana kwa yaliyokukuta... Siku nyingine ukitaka kununua pc mtafute mtu mwenye utaalam uende nae..hiyo conclusion uliyotoa sio sahihi sababu kuna pc mpya kabisa lakini performance yake ni mbovu sana... Kuna matoleo ya hp... Dell... Lenovo.. Nk ambayo ni mabovu sana...tafuta mtaalam
 
Computer used,mafriji,sub buffer, TV ,nunue Zanzibar mtapata vitu vya maana ,Dar uzinguaji tu
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…