Laptop inauzwa 250,000/=

Joined
Oct 10, 2017
Posts
62
Reaction score
10
Kama kawaida, tumedondosha tena mzigo wa kutosha,
Kwa tsh 250,000/= tu jipatie laptop yako kati ya hizi.
Zipo min hp, min dell, min sumsung, min toshiba na min lenovo, pia tuna dell latitude D 620 na laptop nyingine nyingi.
Popote ulipo ndani ya tanzania, huduma zetu zitakufikia.
Nichek kwa 0623554361 kwa maelezo zaidi.
KARIBUNI
 
Unapatikana wapi? Mikoani je mtu akihitaji
 
Mkuu vipi kuhusu utapeli siku hizi tunaogopa sana sijui nifanye je napenda rangi ya papo au orange.
 
Mkuu vipi kuhusu utapeli siku hizi tunaogopa sana sijui nifanye je napenda rangi ya papo au orange.
Mkuu, sisi sio matapeli, kuna watu kadhaa na tumewahudumia wamo humu ni mashahidi wazuri, lakini kama unaogopa hilo na upo mbali, waweza kumtuma mtu, jamaa au rafiki, ukampa pesa zako, ukamuonesha chaguo lako, kisha sisi tutakutana naye, tutamkabidhi mzigo wako na yeye atatupa pesa, wala hakutakuwa na shida
 
Hard disk ndogo sana kiasi kwamba hazifai kwa kazi nyingi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…